Familia ya mama ana kwabu wametoa shukurani ya pekee ya mpendwa wao marehemu lewis masumbuko katika kanisa la KKKT usharika wa maneromango ambapo walishirikiana na familia ya Muhoza, baadaye walikutana kwa chakula pale Boga kwa Bibi Mbega kabla ya kurejea jijini dar.
pia kwa wale wakritso wa dhehebu kilutheri mnakumbushwa kwenda kujiandikisha katika
usharika wetu wa maneromango na kusaidia katika shughuli za maendeleo ya usharika wetu na kijiji kwa ujumla.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment