bwana na bibi john momadi wanapenda kuwataarifu ndugu na marafiki wote kwamba wanatarajia kuvunja kamati ya harusi yao jumapili ya tarehe 12 julai.
muda na mahali na mipango mingine mtaarifiwa siku za usoni.
kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi wa zakaria chuma
shukrani.
Tuesday, July 7, 2009
shukurani ya pekee!
Familia ya mama ana kwabu wametoa shukurani ya pekee ya mpendwa wao marehemu lewis masumbuko katika kanisa la KKKT usharika wa maneromango ambapo walishirikiana na familia ya Muhoza, baadaye walikutana kwa chakula pale Boga kwa Bibi Mbega kabla ya kurejea jijini dar.
pia kwa wale wakritso wa dhehebu kilutheri mnakumbushwa kwenda kujiandikisha katika
usharika wetu wa maneromango na kusaidia katika shughuli za maendeleo ya usharika wetu na kijiji kwa ujumla.
pia kwa wale wakritso wa dhehebu kilutheri mnakumbushwa kwenda kujiandikisha katika
usharika wetu wa maneromango na kusaidia katika shughuli za maendeleo ya usharika wetu na kijiji kwa ujumla.
habari za wagonjwa
ndugu wana ukoo, tunamepokea habari za wagonjwa.
mama neema (mwamini mweleka) amelazwa katika hopistali ya temeke na pia tulipata habari za kusukmbuliwa kwa dada catherine mpapasingo pale mwenge jijini dar.
tunawapa pole wao pamoja na familia zao, bwana awatie nguvu na kuwapa afya njema.
kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi wa zakaria chuma au wanafamilia moja kwa moja.
asante
mama neema (mwamini mweleka) amelazwa katika hopistali ya temeke na pia tulipata habari za kusukmbuliwa kwa dada catherine mpapasingo pale mwenge jijini dar.
tunawapa pole wao pamoja na familia zao, bwana awatie nguvu na kuwapa afya njema.
kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi wa zakaria chuma au wanafamilia moja kwa moja.
asante
Friday, July 3, 2009
kujiuzuru na uongozi wa zakaria chuma
shalom,
kwa uongozi mzima pamoja na wanachama wote/wanaukoo wa zakaria chuma.
kwa masikitiko makubwa napenda kutoa taarifa fupi ya tamko la kujiuzuru kwangu kwenye ngazi ya ukatibu msaidizi wa zakaria chuma.
mengi nitayaongea tutakapokuwa na mkutano mkuu ila kwa ufupi ni kwamba nafsi yangu inawiwa kujiuzuru kutokana na kwamba sioni kwamba ninawetwendea haki wanachama wa ukoo wa zakaria chuma kwa kushindwa kwangu kutimiza malengo na mikakati tuliojiwekea kwa zaidi ya mwaka sasa tangu kuchaguliwa, bila na kuwa na sababu zenye uzito.
ni dhahiri kwamba wako wanachama wengi ambao wangeweza kulisukma gurudumu la maendeleo ya umoja huu, hivyo kwangu mimi si vema nikaendelea kuwapo kwenye safu ya uongozi kwa muda wa miaka mitatu bila kufanikisha malengo tuliyojiwekea.
asanteni,
Bwana na azidi kutubariki.
kwa uongozi mzima pamoja na wanachama wote/wanaukoo wa zakaria chuma.
kwa masikitiko makubwa napenda kutoa taarifa fupi ya tamko la kujiuzuru kwangu kwenye ngazi ya ukatibu msaidizi wa zakaria chuma.
mengi nitayaongea tutakapokuwa na mkutano mkuu ila kwa ufupi ni kwamba nafsi yangu inawiwa kujiuzuru kutokana na kwamba sioni kwamba ninawetwendea haki wanachama wa ukoo wa zakaria chuma kwa kushindwa kwangu kutimiza malengo na mikakati tuliojiwekea kwa zaidi ya mwaka sasa tangu kuchaguliwa, bila na kuwa na sababu zenye uzito.
ni dhahiri kwamba wako wanachama wengi ambao wangeweza kulisukma gurudumu la maendeleo ya umoja huu, hivyo kwangu mimi si vema nikaendelea kuwapo kwenye safu ya uongozi kwa muda wa miaka mitatu bila kufanikisha malengo tuliyojiwekea.
asanteni,
Bwana na azidi kutubariki.
Subscribe to:
Posts (Atom)