tunapenda kuwapa taarifa chache zilizoufikiwa uongozi wa zakaria chuma juu ya vijana na mabinti ambao wameendelea kuukimbia ukapela na kuamua kujikita katika maisha mapya ya ndoa.
kwanza tunataaarifa ya ndoa ya dada binti Mumbi ambaye anatarajiwa kuagwa tarehe 23 Aprili 2009. Vikao vya maandalizi ya shughuli hii vimashaanza katika ukumbi wa Kilimanjaro Bar pale Mwenge kituoni. Kikao kingine kitakuwa j2 ijayo hapo hapo mwenge - kilimanjaro bar.
ndugu mnaombwa kushirikiana na familia ya Mzee Mumbi ili kuweza kufanikisha shughuli hii.
dondoo nyingine ni kwamba, Mwl. Daudi Manyerere wa Mkwawa University - Iringa naye ameshakamlisha shughuli za uchumba na mipango ya harusi yake iko kwenye mchakato. tutawaletea taarifa rasmi mwishoni mwa wiki hii.
pia kuna habari kwamba katibu wetu kaka John (Tall) Momadi naye yuko safarini moshi akiwa ameambata na Mzee wetu John Gunda kukamilisha mambo ya uchumba.
taarifa kamili za shughuli hizi zote tutaweletea mwishoni mwa wiki hii, kaa chonjo!
Tuesday, February 17, 2009
taarifa za wagonjwa
wapendwa wana -zakaria chuma popote mlipo duniani pamoja na wadau wengine wote, tunapenda kuwapa taarifa za wagonjwa.
kwanza tunaye mama mch. catherine kitale wa karakata dar-es-salaam, ambaye amekuwa akisumbuliwa kwa kipindi kirefu sasa na amaeendelea kupata tiba katika hospitali ya Mama Ngoma pale Mwenge.
msaada wenu wa hali na mali unahitajika sana kusaidia gharama za huduma hii.
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na familia ya Askofu Kitale kwa simu 0712700012 ama kufika nyumbani karatata wakati wowote.
pia unaweza kuwasiliana na uongozi wa zakaria chuma
James Mumbi - M/kiti
Dr. David Mwenesano -M/M.kiti - 0755447793
John Momadi - Katibu - 0713261819
Robert Manyerere - M/Katibu 0715252540
Betty Mbega - M/Hazina
Sarah Urembo - M/M.Hazina
kwanza tunaye mama mch. catherine kitale wa karakata dar-es-salaam, ambaye amekuwa akisumbuliwa kwa kipindi kirefu sasa na amaeendelea kupata tiba katika hospitali ya Mama Ngoma pale Mwenge.
msaada wenu wa hali na mali unahitajika sana kusaidia gharama za huduma hii.
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na familia ya Askofu Kitale kwa simu 0712700012 ama kufika nyumbani karatata wakati wowote.
pia unaweza kuwasiliana na uongozi wa zakaria chuma
James Mumbi - M/kiti
Dr. David Mwenesano -M/M.kiti - 0755447793
John Momadi - Katibu - 0713261819
Robert Manyerere - M/Katibu 0715252540
Betty Mbega - M/Hazina
Sarah Urembo - M/M.Hazina
Subscribe to:
Posts (Atom)