Tuesday, February 17, 2009

taarifa za wagonjwa

wapendwa wana -zakaria chuma popote mlipo duniani pamoja na wadau wengine wote, tunapenda kuwapa taarifa za wagonjwa.
kwanza tunaye mama mch. catherine kitale wa karakata dar-es-salaam, ambaye amekuwa akisumbuliwa kwa kipindi kirefu sasa na amaeendelea kupata tiba katika hospitali ya Mama Ngoma pale Mwenge.
msaada wenu wa hali na mali unahitajika sana kusaidia gharama za huduma hii.
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na familia ya Askofu Kitale kwa simu 0712700012 ama kufika nyumbani karatata wakati wowote.
pia unaweza kuwasiliana na uongozi wa zakaria chuma

James Mumbi - M/kiti
Dr. David Mwenesano -M/M.kiti - 0755447793
John Momadi - Katibu - 0713261819
Robert Manyerere - M/Katibu 0715252540
Betty Mbega - M/Hazina
Sarah Urembo - M/M.Hazina

No comments: