ndugu wana ukoo, tunamepokea habari za wagonjwa.
mama neema (mwamini mweleka) amelazwa katika hopistali ya temeke na pia tulipata habari za kusukmbuliwa kwa dada catherine mpapasingo pale mwenge jijini dar.
tunawapa pole wao pamoja na familia zao, bwana awatie nguvu na kuwapa afya njema.
kwa maelezo zaidi wasiliana na uongozi wa zakaria chuma au wanafamilia moja kwa moja.
asante
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Maoni: tuwe tuna up date hizi taarifa jamani!!!
Post a Comment